Home

FURAHAYA KUPATA MAJI SAFI KWA WAKAAJI WA MUHAMARANI
- Details
Kisima cha Tano kinaendelea kuchimbwa Muhamarani Na Jimbo Katoliki la Malindi. Kisima hiki kinakamilisha visima Tano ambavyo vilikuwa vimepangiwa kuchimbwa kabla ya tarehe Kumi Na Tano, Mwezi Wa Kumi Na Mbili Mwaka Huu(15/12/2024)
Wakaaji wa Muhamarani waliojawa na wingi wa furaha mioyoni mwao ,kwa mazuri waliyoweza kupokea kutoka kwa Jimbo katoliki la malindi ,walijitokeza kwa wingi Radio Bayana ilipofika maeneo yao "Muhamarani".wakaaji waliweza kutoka shukurani zao kwa Jimbo Haswa kwa Baba Askofu Willybard Lagho Kwa kazi njema anafanya katika Jimbo.kwani
Kupitia kwa kisima Cha Maji Haya, hawatahangaika tena wakitafuta Maji mbali, pia watakuwa Na nafasi YA kufanya kilimo hata wakati Wa kiangazi

WAKAAZI WA TANA DELTA WAHIMIZWA KUPENDANA
- Details
Migogoro baina ya jamii zilizoko Tana River, imezua hali ya wasiwasi siku za hivi karibuni, wakaazi wakikimbilia kutoka makazi yao na kwenda sehemu zengine zilizo salama.

Bishop Willybard Lagho Leads Sacrament of Confirmation at Christ the King Catholic Church, Kibokoni.
- Details
His Lordship, Bishop Willybard Lagho, the Bishop of the Diocese of Malindi, joined the faithful at Christ the King Catholic Church in Malindi for a solemn celebration as he led the sacrament of Confirmation, also known as Kipaimara. The ceremony, held over the weekend, saw a number of young Catholics receiving the sacrament, strengthening their commitment to the faith.

PONGEZI KWA WANAKWAYA WA PAROKIA YA WITU
- Details
Wanakwaya kutoka dekania mbalimbali katika jimbo katoliki la Malindi, walikutana katika kongamano la Wanakwaya Katika Parokia ya Witu. Kongamano hili liliambatanishwa pamoja na uzinduzi wa nyimbo mpya za kwaya ya Parokia ya Witu. Parokia ya Witu inayongozwa na Padre Alex Kimbi.

LIFE CHANGING WATER IN MALINDI DIOCESE
- Details
One of the crucial challenges faced in some villages in the diocese of Malindi over the years is lack of hygienic drinking water. Access to drinking water is essential in any community. When one goes visiting the villages from 4:00 p.m when children are just back from school, one immediately notices how desperately people need water. Children who live far from wells quickly pick up a bicycle, grab some containers and go to fetch drinking water kilometres away from home. This considerable need becomes even more severe when it comes to having access to drinking water in schools. It is a demanding task for teachers and parents to provide drinking water for hundreds of school children every day. It is sympathetic when one sees how important stagnant water beside a school can be. Villagers wash their clothes in it, cows drink from it, children swim in the same pool, and that is the only source of drinking water too for the school and the entire village.