News
Fumbo la Utatu Mtakatifu
Fumbo la Utatu Mtakatifu. Ni sherehe kati ya sherehe za Bwana ambayo huadhimishwa Dominika inayofuata mara baada ya Pentekoste. Mama Kanisa ameweka sherehe hii baada ya Pentekoste kwa sababu anajua tayari fumbo zima la Utatu Mtakatifu limekwishafunuliwa na kufundishwa kwa kina na Mama Kanisa. Na kwa namna hiyo Mama Kanisa anatushirikisha furaha ijayo kwetu kila siku kwa njia ya Utatu Mtakatifu. Anatushirikisha fumbo la Mungu kukaa nasi daima mpaka ukamilifu. Kwa njia ya fumbo hili upendo wa Mungu kwa wanadamu unafunuliwa hatua kwa hatua mpaka ukamilifu wake.
Daily Reflections Sunday, June 4, 2023. The Essence of the Most Holy Trinity
The Essence of the Most Holy Trinity
“All power in heaven and on earth has been given to me. Go, therefore, and make disciples of all nations, baptizing them in the name of the Father, and of the Son, and of the Holy Spirit, teaching them to observe all that I have commanded you. And behold, I am with you always, until the end of the age.” Matthew 28:19–20
Daily Reflections The Danger of Obstinacy June 3, 2023
The Danger of Obstinacy
June 3, 2023
Saturday of the Eighth Week in Ordinary Time
Readings for Today
Saints Charles Lwanga and Companions, Martyrs—Memorial
Daily Reflections June 2, 2023: “Sandwich” stories
Daily Reflections June 2, 2023
The next day as they were leaving Bethany he was hungry. Seeing from a distance a fig tree in leaf, he went over to see if he could find anything on it. When he reached it he found nothing but leaves; it was not the time for figs. And he said to it in reply, “May no one ever eat of your fruit again!” And his disciples heard it. Mark 11:12–14
ASALI MUBASHARA-Alhamisi 01/06/2023
ASALI MUBASHARA-Alhamisi 01/06/2023
Bila Yesu, sisi ni Vipofu
Ndugu zangu wapendwa karibuni kwa adhimisho la misa takatifu. Bartimayo baada ya kuambiwa kuwa ni Yesu Mnazareti anapita katika njia ile; anapaaza sauti yake