*Askofu Willybard Lagho wa Jimbo katoliki la Malindi azungumzia mswada wa Kifedha 2024-2025* (By Collins Mdarisi)
Askofu ameziomba mashirika na taasisi zisizo za kiserikali kuielimisha jamii kuhusu mswada huo ambao unaweza kuboresha au kuathiri Maisha yao.
Askofu Willybard Lagho pia amesisitiza kuwa wakenya watatoa mapendekezo sahihi iwapo wataelezewa kikamilifu yaliyomo kwenye mswada huo.